A study of the origins of The Church of Jesus Christ of Latter-day Saints in the states of New York and Pennsylvania, 1816-1831/ by Larry C. Porter
Waandishi
Mpangilio
Lugha
Tarehe ya Uchapishwaji
Mchapishaji
Mahali pa Uchapishaji
Kimwili
Marejeleo
Muhtasari
Dissertation (Ph.D.) -- Brigham Young University, 1971.
"The experience of Joseph Smith in a revivalistic scene and his subsequent vision of the Father and the Son are examined. As an outgrowth of this reported visitation, Joseph eventually organized the LDS Church. A major portion of this dissertation deals with the events associated with that organization and an analysis of the individuals attracted to the movement. This treatise, prepared in chronological fashion, treats the early movements of Joseph Smith, Jr., and his associates in the New York counties of Ontario, Wayne, Seneca, Chenango, Broome and the Pennsylvania county of Susquehanna. This study concludes with a treatment of Joseph's move to Ohio, in 1831, and the subsequent removal of the New York Saints to that state" -- Abstract.
Bibliography: p. [331]-351.
Tazama orodha hii ya rekodi kwenye WorldCat kwa ajili ya nakala ya maeneo mengine yanayowezekana.Mada
Mada za Kawaida
Maktaba ya Mada za Kibunge
Nakala
| Namba ya Kupiga | Mahali | Mkusanyiko/Rafu | Upatikanaji |
|---|---|---|---|
| 974.7 K2p | HSB (Headquarters Storage Building) | Off-site Storage | Storage |
| Namba ya Kupiga | Mahali | Mkusanyiko/Rafu | Upatikanaji |
|---|---|---|---|
| 974.7 K2p | HSB (Headquarters Storage Building) | Off-site Storage | Storage |
Kuhusu rekodi hii
Skrini hii inaonesha maingizo ya katalogi ya kichwa cha habari ulichokichagua.
Kipengele cha Nakala hubeba taarifa kwa ajili ya kutafuta kitu cha kushikika. Angalia Namba ya Kupiga, Mahali na Upatikanaji ili kujua kama nakala ya kushikika inaweza kufikiwa.
Vitabu vingi, majarida na ramani vinapatikana kwenye Maktaba ya Kidijitali na vinaweza kufikiwa kupitia kiungo kilichoambatanishwa. Kazi ambazo zinalindwa kwa haki miliki hazipatikani kwa ajili ya kutazama mtandaoni.
Filamu/Mihutasari ya Kidijitali ina maelezo ya filamu ndogo ndogo au namba za picha ndogo ndogo. Baadhi ya vituo vya FamilySearch na maktaba washirika vinabaki na mikusanyiko ya filamu ndogo ndogo au picha ndogo ndogo zilizoazimwa. Ikoni ya kamera inaonesha vipengele ambavyo vinapatikana mtandaoni kidijitali.
Filamu zote ndogo ndogo zimefanywa kuwa za kidijitali na kwa sasa picha ndogo ndogo nazo huwekwa kwenye mfumo huo. Sababu za kwa nini picha kutoka filamu ndogo ndogo au picha ndogo ndogo zinaweza bado zisipatikane kidijitali kwenye FamilySearch.org hujumuisha:
- Filamu ndogo ndogo zinaweza kupangwa kwa ajili ya kuskani baadaye.
- Filamu ndogo ndogo zaweza kuwa zimeskaniwa, lakini zina mkataba, usiri wa data au kizuizi kingine kinachozuia kuzifikia. FamilySearch inafanya kila juhudi ili kuwezesha ufikiaji unaotegemea maamuzi ya watunza kumbukumbu na sheria zinazohusika.
- Unaweza kuhitaji kuwa kwenye Kituo cha FamilySearch au Maktaba ya FamilySearch ili kupata picha za kidijitali kutoka filamu ndogo ndogo au picha ndogo ndogo. Baadhi zinaweza kukuhitaji kwamba uingie katika akaunti yako ya FamilySearch.